Style Pundits Everywhere Is a Free Daily blog that delivers the latest must see photos about hottest fashion trends with the twist of spicy pop culture gossip. Organize your wardrobe today.
Tuesday, December 11, 2007
Marafiki wakubwa
Tom Cruise na Will Smith wakiwa katika sherehe ya ufunguzi wa picha mpya ya Will inayoitwa "I am the Legend" katika theatre ya wachina kule Hollywood.Thats what friend are!
Is he really gay?
Tuesday, December 4, 2007
Xtina avua nguo
Thursday, November 29, 2007
Monday, November 19, 2007
Sunday, November 18, 2007
Tatizo lake nini
Saturday, November 17, 2007
Friday, November 9, 2007
Thursday, November 8, 2007
Saturday, November 3, 2007
Thursday, November 1, 2007
Ice T na Coco
Tuesday, October 23, 2007
Thursday, October 18, 2007
Obama na binamu yake
Makamu wa Raisi nchini Marekani mzee Dick Cheney anasemakana kuwa ni binamu wa mbali wa mgombea mweusi wa kiti cha Urais nchini Marekani senator Barack Obama.Hayo ni matokeo ya DNA yanayoendelea nchini hapa kutafuta nani katokea wapi sababu kila mtu ni mzamiaji nchi hii.Obama akishinda uraisi atakuwa mwafrika wa kwanza kushika kiti hicho cha juu kabisa duniani wakati binamu yake atakuwa ni mwafrika(mzungu) wa kwanza kutwaa madaraka ya umakamu wa raisi wa marekani.
Do the maths!
Nini kinaendelea
Monday, October 15, 2007
Wednesday, October 3, 2007
Britney anyang'anywa watoto wake
Tuesday, October 2, 2007
Thursday, September 27, 2007
Wednesday, September 19, 2007
Wazee wa Macharanga!?
Tuesday, September 18, 2007
Rosie amtolea nje Oprah
Kuna usemi nchini Marekani kuwa Oprah akikuita haukatai,lakini safari hii Oprah kakumbana na kukataliwa pale alipomwalika mtangazaji Rosie Odonnell katika kipindi chake ambapo alitaka wazungumzie kuhusu kitabu kipya cha Rosie kinaitwa "Celebrity Detox".Rosie anayejulikana kwa kukosoa watu na hasa wale wanaojulikana pamoja na kuropoka mambo mengi bila mpangilio, alimtumia ujumbe Oprah akimueleza hataweza kuhudhuria mwaliko labda siku nyingine.Bahati mbaya Oprah anakualika mara moja tu.
DEAL WITH IT BIG O
Friday, September 14, 2007
K-Fedeline kupokea dola 20,000 kila mwezi
Mahakama nchini marekani imeamua kuwa Britney Spears atakuwa anamlipa aliyekuwa mumewe na baba wa watoto wake wawili Kevin Fedelina dola elfu ishirini kila mwezi kwa maisha yake yote ikiwa ile wamarekani wanaita "Spouse support" .Hayo ni makubaliano yaliyopo ili kumzima moto asiendelee kugombania watoto kutoka kwa Britney.
What a bastard?
Thursday, September 13, 2007
Mlinzi wa fasheni anahitajika
Blog hii inatafuta mtu mjuzi wa mambo ya ulinzi na usalama anisaidie kuwatoza faini warembo wanaotuharibia mavazi yetu kama mwanadada huyu anayeitwa Cate Blanchett.Pamoja na filamu nyingi alizowahi kucheza,Cate anapatikana katika picha inaitwa "The Aviator" ya mwaka 2005 akiwa na Leonardo Dicaprio ambayo ilimpeleka nyumbani na tuzo kubwa la wacheza sinema Duniani la Oscar.Macho yanauma nikiliangalia hilo gunia alilovaa.
Wednesday, September 12, 2007
Du nimenenepa
Baada ya kushindwa kutumbuiza jukwaani katika matuzo ya MTV yanayotolewa kila mwaka kwa wanasanaa mbalimbali hapa nchini Marekani,Britney spears alilia sana nje ya ukumbi akidai amanenepa kama nguruwe.Britney ambaye miaka ya karibuni aliondoka ulingoni kutokana na majukumu ya kuzaa,alirudi upya kwa vituko vya kuvaa nguo fupi bila chupi ambapo tuliweza kujionea picha mbalimbali zikionyesha uchi wake.Watu walitarajia atarudisha umaarufu wake kwa kuteremsha shoo ya nguvu jukwaani lakini ilishiindikana.Washabiki wake wanataka asaidiwe ili arudishe vitu vyake tunavyovikosa.
Sunday, September 9, 2007
Like mom like daughter
Monday, September 3, 2007
Diddy white party
Watu wengi wakiwa katika mapumziko ya sikukuu ya wafanyakazi hapa nchini Marekani,P Diddy alikua busy na kuandaa sherehe kubwa aliyoiita "white party" katika jumba lake kwenye visiwa vya Long jijini Newyork.Kila mwalikwa alitakiwa avae nguo nyeupe kama mnavyomuona Mariah Carey akiingia shehereni.
Bonyeza hiyo picha ili umwangalie kwa karibu.
Thursday, August 30, 2007
Mavazi ya wachunga ng'ombe yanapokua fasheni
Wednesday, August 29, 2007
Kwanini havai nguo za ndani?
Monday, August 27, 2007
Separated at birth
Kipima pombe
Saturday, August 25, 2007
Thursday, August 23, 2007
What if.....?
Wakati kampeni za kuwania uraisi zikiendelea Nchini hapa Marekani,mabinti nao hawapo nyuma kuwania nafasi za "ufirst lady".Pichani anaonekana binti ambaye anadai kuwa yeye ni Obama Girl akionyesha upande wake wa pili wa uzuri.Kumbuka Obama ni Mmarekani mweusi pekee kuwania nafasi hiyo ya juu sana duniani.
AM SURE YOU WON'T REJECT THIS SENATOR
Monday, August 20, 2007
Back to Basics
Ellen na Portia
Ndivyo wanavyojibadilisha
Huyu binti unayemuona hapa ni mwanaume.Amefanya kila kitu kujibadilisha kuwa mwanamke kasoro kitu kimoja....sehemu za siri.Kaka/dada huyu wa Australia anaonekana hapa akielekea Thailand kufanya operation itakayo muwezesha kuwa mwanamke kabisa.Katika passport yake alishindwa kujaza "gender" yake kama yeye ni mwanamke au mwanaume sababu yupo nusunusu bado.
Haya akina kaka kazi kwenu.
Wednesday, August 15, 2007
Mnamkumbuka George Michael
Mzee wa siku nyingi wa miziki mikali sana iliyovuma miaka ya tisini mwanzoni George Michael ameamuliwa na jaji kule nchini Uingereza kutumikia jamii kwa muda wa masaa 100 kutokana na kosa la kuendesha gari akiwa amelewa.George ambaye alijitangaza hadharani kuwa ni shoga atakuwa na kazi za kusafisha vyoo na barabara pale mjini London.
Hii sio mara ya kwanza kupewa adhabu za aina hiyo.Mwaka 1998,George alishawahi kutumikia jamii masaa 80 baada ya kukamatwa na polisi akiwa anafanya mambo yanayohusiana na ngono katika choo cha jamii pale Beverly Hills nchini Marekani
Tuesday, August 14, 2007
Mambo 10 ya Angelina Jolie
Inasemekana kuwa Angelina Jolie(32) ni mwanamke mzuri anayeishi,huyu dada ambaye ni mtoto wa mcheza sinema tajiri Jon Voight ana sifa na vituko nitakavyotaja hapa chini.
1.Alishinda Oscars toka katika picha inayoitwa "Lara Croft"
2.Ana kaka wa damu anayeitwa James ambaye waliwahi kula nae denda mbele ya mamilioni ya watu kule Hollywood.
3.Anakusanya visu vya kila aina kama hobby.
4.Ni balozi wa hiari wa Umoja wa Mataifa
5.Ana watoto wanne,watatu wa kuadopt na mmoja wa kumzaa.Watoto wake Maddox anatokea Cambodia,Pax anatokea Vietnam na Zahara anatokea Ethiopia.Mtoto wake Shiloh alizaliwa Namibia.
6.Anatembea na Brady Pitt ambaye anajulikana kama mwanaume mzuri anayeishi.
7.Licha ya kuwa na mahusiano ya muda mfupi na wanaume wengi aliowahi kucheza nao picha,dada huyo ana uhusiano wa mapenzi na mwanamke mmoja kwa kipindi cha miaka kumi.Amekiri majuzi kuwa toka aanze kutembea na Brady kaachana na yule mwanamke.
8.Alishawahi kuolewa mara mbili.
9.Yeye na baba yake hawaongei muda mrefu sana,jitihada za baba yake kutaka kusuruhisha ugomvi wao zimeshindikana.
10.Amekiri anataka kuongeza watoto wengi wa kuadopt wafikie 7 mpaka 14.
Friday, August 10, 2007
Hili ni vazi la wapi tena?
Thursday, August 9, 2007
Miaka 50 ya kuzaliwa na midomo ya miaka 10
Tuesday, August 7, 2007
Flavor Flav is always ontime
Flavor Flav kama anavyojulikana na washabiki wake alikua ni mmoja wa wanamuziki wa kundi la Public Enemy lililovuma miaka ya themanini kama sio tisini mwanzoni.Jamaa huyu anayejulikana kama PIMP(mtu anayetumia wanawake kutengeneza hela) na mwenye signature ya kuvaa saa shingoni kama unavyoona kwenye picha,alijizolea washabiki wengi aliporudi katika television akiwa na kipindi cha kutafuta mwanamke wa kuishi nae.Hapo nyuma hao ni baadhi ya mabinti waliokua wanamgombania.Flavor Flava alipata binti ambaye yupo nae baada ya kujaribisha kipindi hicho cha TV kilichojulikana kama Flavor of Love mara mbili kilichokuwa kinarushwa katika station ya VH1 nchini Marekani.Hivi sasa anarudi ulingoni na mapishi.
DON'T WORRY FLAV, I WILL BE ONTIME EVEN IF I DON'T HANG A WALL CLOCK ON MY NECK.
Monday, August 6, 2007
Pale binti yako anapokuwa mpinzani
Wakati sakata la kuwania urahisi nchini marekani likiwa linapamba moto kati ya vyama viwili maarufu nchini hapa,siasa imeingia ndani ya nyumba ya mmojawapo wa wagombea madaraka hayo ya juu kabisa duniani anayeitwa Rudy Giuliani.Mzee Giuliani ambaye alikua mayor wa mji wa NewYork na mgombea urahisi aliye mstari wa mbele kwa wapinzani wake wa chama cha Republican ameshitushwa na habari za bintie ambaye kaamua kujiunga na kambi ya ugombea urahisi ya Baraka Obama.Kumbuka Baraka ni mweusi wa chama cha Upinzani cha Democrat na ana asili ya kenya anaungwa mkono na binti huyo ambaye kaamua kusaliti baba yake.Habari hizo zilizopatika katika website ya myspace.com ilionyesha picha za binti huyo akiwa na rafiki zake na wakimuunga mkono Mr Obama.Mzee Giuliani alipoulizwa kutoa maoni yake alisema kwa kifupi anafurahi kitu chochote mtoto wake anachofanya.
PROUD PAPA
Diddy anavinjari na mtoto wa kiingereza
Mwanamuziki/ mfanyabiashara maarufu nchini marekani P Diddy anafanya mpango wa kupumzika katika boat lake na mtoto wa kiingereza ambaye ni mcheza sinema hapa marekani Sienna Miller.Kulikua na maongezi ya chini chini kwa muda mrefu kuhusu uhusiano wa Diddy na Miller ambao ulipekea Diddy kutengana na mama watoto wake Kim P. Mwanamke huyo ambaye kamzalia watoto mapacha Diddy aliamua kuondoka zake baada ya kuona boyfriend wake anahangaika na wazungu.Sasa hatuna habari rasmi za romance kati ya watu hao wawili lakini uwezekano ni mkubwa maana wote wawili ni mabachela wa kutupwa.
WE HEARD YOUR STORIES DIDDY,IS IT TRUE?
Subscribe to:
Posts (Atom)