Thursday, August 23, 2007

What if.....?


Wakati kampeni za kuwania uraisi zikiendelea Nchini hapa Marekani,mabinti nao hawapo nyuma kuwania nafasi za "ufirst lady".Pichani anaonekana binti ambaye anadai kuwa yeye ni Obama Girl akionyesha upande wake wa pili wa uzuri.Kumbuka Obama ni Mmarekani mweusi pekee kuwania nafasi hiyo ya juu sana duniani.
AM SURE YOU WON'T REJECT THIS SENATOR

Monday, August 20, 2007

Back to Basics


Rafiki yangu mpendwa (ni mkubwa sana kwangu) alinionyesha hili dude ambalo alikua anachezea alipokua mdogo,tunazungumzia zaidi ya miaka arobaini iliyopita.Sasa zimerudi tena,vipi ukimnunulia mtoto wako wa kiume zilizopendwa?
ROCK'EM SOCK'EM

Ellen na Portia


Mambo haya ni ya kawaida kabisa nchi hii,nasikia utamaduni huu unaingia kwa kasi sana bongo...
SOooooo IN HEART

Ndivyo wanavyojibadilisha


Huyu binti unayemuona hapa ni mwanaume.Amefanya kila kitu kujibadilisha kuwa mwanamke kasoro kitu kimoja....sehemu za siri.Kaka/dada huyu wa Australia anaonekana hapa akielekea Thailand kufanya operation itakayo muwezesha kuwa mwanamke kabisa.Katika passport yake alishindwa kujaza "gender" yake kama yeye ni mwanamke au mwanaume sababu yupo nusunusu bado.
Haya akina kaka kazi kwenu.