Style Pundits Everywhere Is a Free Daily blog that delivers the latest must see photos about hottest fashion trends with the twist of spicy pop culture gossip. Organize your wardrobe today.
Saturday, August 25, 2007
Thursday, August 23, 2007
What if.....?
Wakati kampeni za kuwania uraisi zikiendelea Nchini hapa Marekani,mabinti nao hawapo nyuma kuwania nafasi za "ufirst lady".Pichani anaonekana binti ambaye anadai kuwa yeye ni Obama Girl akionyesha upande wake wa pili wa uzuri.Kumbuka Obama ni Mmarekani mweusi pekee kuwania nafasi hiyo ya juu sana duniani.
AM SURE YOU WON'T REJECT THIS SENATOR
Monday, August 20, 2007
Back to Basics
Ellen na Portia
Ndivyo wanavyojibadilisha
Huyu binti unayemuona hapa ni mwanaume.Amefanya kila kitu kujibadilisha kuwa mwanamke kasoro kitu kimoja....sehemu za siri.Kaka/dada huyu wa Australia anaonekana hapa akielekea Thailand kufanya operation itakayo muwezesha kuwa mwanamke kabisa.Katika passport yake alishindwa kujaza "gender" yake kama yeye ni mwanamke au mwanaume sababu yupo nusunusu bado.
Haya akina kaka kazi kwenu.
Subscribe to:
Posts (Atom)