Style Pundits Everywhere Is a Free Daily blog that delivers the latest must see photos about hottest fashion trends with the twist of spicy pop culture gossip. Organize your wardrobe today.
Wednesday, August 15, 2007
Mnamkumbuka George Michael
Mzee wa siku nyingi wa miziki mikali sana iliyovuma miaka ya tisini mwanzoni George Michael ameamuliwa na jaji kule nchini Uingereza kutumikia jamii kwa muda wa masaa 100 kutokana na kosa la kuendesha gari akiwa amelewa.George ambaye alijitangaza hadharani kuwa ni shoga atakuwa na kazi za kusafisha vyoo na barabara pale mjini London.
Hii sio mara ya kwanza kupewa adhabu za aina hiyo.Mwaka 1998,George alishawahi kutumikia jamii masaa 80 baada ya kukamatwa na polisi akiwa anafanya mambo yanayohusiana na ngono katika choo cha jamii pale Beverly Hills nchini Marekani
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment
Please visit us oftenly.