Style Pundits Everywhere Is a Free Daily blog that delivers the latest must see photos about hottest fashion trends with the twist of spicy pop culture gossip. Organize your wardrobe today.
Tuesday, September 18, 2007
Rosie amtolea nje Oprah
Kuna usemi nchini Marekani kuwa Oprah akikuita haukatai,lakini safari hii Oprah kakumbana na kukataliwa pale alipomwalika mtangazaji Rosie Odonnell katika kipindi chake ambapo alitaka wazungumzie kuhusu kitabu kipya cha Rosie kinaitwa "Celebrity Detox".Rosie anayejulikana kwa kukosoa watu na hasa wale wanaojulikana pamoja na kuropoka mambo mengi bila mpangilio, alimtumia ujumbe Oprah akimueleza hataweza kuhudhuria mwaliko labda siku nyingine.Bahati mbaya Oprah anakualika mara moja tu.
DEAL WITH IT BIG O
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment
Please visit us oftenly.