Wednesday, April 9, 2008

Mnaikumbuka movie ya The bodyguard?



Whitney Houston na Kevin costner wakiwa pamoja katika picha hii baada ya miaka kumi na sita tangu wacheze wote movie ya The bodyguard.Mambo mengi yamepita hapo katikati ikiwa ni pamoja na Whitney kuolewa na kichaa Bobby Brown,kashfa za madawa ya kulevya nk hapo juu kabisa ni miaka16 iliyopita katika set ya movie na nyingine hii chini ni juzi hapo walikutana katika matamasha ya mastaa.

Tuesday, April 8, 2008

Baada ya harusi


Kuna rumors kwamba Jay Z na Beyonce wameoana ijumaa iliyopita 4/4/08,pichani J anaonekana akiwa mitaa bila pete wala B sasa havieleweki kwa kweli wao kila kitu ni siri.Wakati huohuo uzushi umetoka kuwa Beyonce ni mja mzito,miezi tisa haidanganyi hilo hawataweza kufanya siri.Kwa wale wapenda fasheni hebu angalia hizo raba na mikanda yake kwa karibu.