Style Pundits Everywhere Is a Free Daily blog that delivers the latest must see photos about hottest fashion trends with the twist of spicy pop culture gossip. Organize your wardrobe today.
Wednesday, September 12, 2007
Du nimenenepa
Baada ya kushindwa kutumbuiza jukwaani katika matuzo ya MTV yanayotolewa kila mwaka kwa wanasanaa mbalimbali hapa nchini Marekani,Britney spears alilia sana nje ya ukumbi akidai amanenepa kama nguruwe.Britney ambaye miaka ya karibuni aliondoka ulingoni kutokana na majukumu ya kuzaa,alirudi upya kwa vituko vya kuvaa nguo fupi bila chupi ambapo tuliweza kujionea picha mbalimbali zikionyesha uchi wake.Watu walitarajia atarudisha umaarufu wake kwa kuteremsha shoo ya nguvu jukwaani lakini ilishiindikana.Washabiki wake wanataka asaidiwe ili arudishe vitu vyake tunavyovikosa.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment
Please visit us oftenly.