Style Pundits Everywhere Is a Free Daily blog that delivers the latest must see photos about hottest fashion trends with the twist of spicy pop culture gossip. Organize your wardrobe today.
Wednesday, September 19, 2007
Wazee wa Macharanga!?
Kanye West aliungana na Diddy, Jay-Z na producer LA Reid katika sherehe ya kuadhimisha miaka 50 ya kuzaliwa kwa gazeti la GQ iliyofanyika jumanne(jana) Newyork.
Tuesday, September 18, 2007
Rosie amtolea nje Oprah
Kuna usemi nchini Marekani kuwa Oprah akikuita haukatai,lakini safari hii Oprah kakumbana na kukataliwa pale alipomwalika mtangazaji Rosie Odonnell katika kipindi chake ambapo alitaka wazungumzie kuhusu kitabu kipya cha Rosie kinaitwa "Celebrity Detox".Rosie anayejulikana kwa kukosoa watu na hasa wale wanaojulikana pamoja na kuropoka mambo mengi bila mpangilio, alimtumia ujumbe Oprah akimueleza hataweza kuhudhuria mwaliko labda siku nyingine.Bahati mbaya Oprah anakualika mara moja tu.
DEAL WITH IT BIG O
Subscribe to:
Posts (Atom)