Monday, August 6, 2007

Pale binti yako anapokuwa mpinzani


Wakati sakata la kuwania urahisi nchini marekani likiwa linapamba moto kati ya vyama viwili maarufu nchini hapa,siasa imeingia ndani ya nyumba ya mmojawapo wa wagombea madaraka hayo ya juu kabisa duniani anayeitwa Rudy Giuliani.Mzee Giuliani ambaye alikua mayor wa mji wa NewYork na mgombea urahisi aliye mstari wa mbele kwa wapinzani wake wa chama cha Republican ameshitushwa na habari za bintie ambaye kaamua kujiunga na kambi ya ugombea urahisi ya Baraka Obama.Kumbuka Baraka ni mweusi wa chama cha Upinzani cha Democrat na ana asili ya kenya anaungwa mkono na binti huyo ambaye kaamua kusaliti baba yake.Habari hizo zilizopatika katika website ya myspace.com ilionyesha picha za binti huyo akiwa na rafiki zake na wakimuunga mkono Mr Obama.Mzee Giuliani alipoulizwa kutoa maoni yake alisema kwa kifupi anafurahi kitu chochote mtoto wake anachofanya.
PROUD PAPA

No comments:

Post a Comment

Please visit us oftenly.