Tuesday, August 14, 2007

Mambo 10 ya Angelina Jolie



Inasemekana kuwa Angelina Jolie(32) ni mwanamke mzuri anayeishi,huyu dada ambaye ni mtoto wa mcheza sinema tajiri Jon Voight ana sifa na vituko nitakavyotaja hapa chini.
1.Alishinda Oscars toka katika picha inayoitwa "Lara Croft"
2.Ana kaka wa damu anayeitwa James ambaye waliwahi kula nae denda mbele ya mamilioni ya watu kule Hollywood.
3.Anakusanya visu vya kila aina kama hobby.
4.Ni balozi wa hiari wa Umoja wa Mataifa
5.Ana watoto wanne,watatu wa kuadopt na mmoja wa kumzaa.Watoto wake Maddox anatokea Cambodia,Pax anatokea Vietnam na Zahara anatokea Ethiopia.Mtoto wake Shiloh alizaliwa Namibia.
6.Anatembea na Brady Pitt ambaye anajulikana kama mwanaume mzuri anayeishi.
7.Licha ya kuwa na mahusiano ya muda mfupi na wanaume wengi aliowahi kucheza nao picha,dada huyo ana uhusiano wa mapenzi na mwanamke mmoja kwa kipindi cha miaka kumi.Amekiri majuzi kuwa toka aanze kutembea na Brady kaachana na yule mwanamke.
8.Alishawahi kuolewa mara mbili.
9.Yeye na baba yake hawaongei muda mrefu sana,jitihada za baba yake kutaka kusuruhisha ugomvi wao zimeshindikana.
10.Amekiri anataka kuongeza watoto wengi wa kuadopt wafikie 7 mpaka 14.

No comments:

Post a Comment

Please visit us oftenly.