Thursday, October 18, 2007

Obama na binamu yake


Makamu wa Raisi nchini Marekani mzee Dick Cheney anasemakana kuwa ni binamu wa mbali wa mgombea mweusi wa kiti cha Urais nchini Marekani senator Barack Obama.Hayo ni matokeo ya DNA yanayoendelea nchini hapa kutafuta nani katokea wapi sababu kila mtu ni mzamiaji nchi hii.Obama akishinda uraisi atakuwa mwafrika wa kwanza kushika kiti hicho cha juu kabisa duniani wakati binamu yake atakuwa ni mwafrika(mzungu) wa kwanza kutwaa madaraka ya umakamu wa raisi wa marekani.
Do the maths!

Nini kinaendelea


Huyu mwanadada anasemekana kuwa mzuri kuliko wanawake wote duniani sasa sijui alikua anafikiria nini alipoamua kuvaa hivyo na kutoka?
Mrs Douptfire shoes