Style Pundits Everywhere Is a Free Daily blog that delivers the latest must see photos about hottest fashion trends with the twist of spicy pop culture gossip. Organize your wardrobe today.
Thursday, October 18, 2007
Obama na binamu yake
Makamu wa Raisi nchini Marekani mzee Dick Cheney anasemakana kuwa ni binamu wa mbali wa mgombea mweusi wa kiti cha Urais nchini Marekani senator Barack Obama.Hayo ni matokeo ya DNA yanayoendelea nchini hapa kutafuta nani katokea wapi sababu kila mtu ni mzamiaji nchi hii.Obama akishinda uraisi atakuwa mwafrika wa kwanza kushika kiti hicho cha juu kabisa duniani wakati binamu yake atakuwa ni mwafrika(mzungu) wa kwanza kutwaa madaraka ya umakamu wa raisi wa marekani.
Do the maths!
Nini kinaendelea
Monday, October 15, 2007
Subscribe to:
Posts (Atom)