Wednesday, October 3, 2007

Britney anyang'anywa watoto wake


Mahakama nchini Marekani imeamua kumnyan'ganya Britney Spears watoto wake wawili na kumkabidhi kwa baba yao Kevin Fedeline,Britney kashindwa katika kesi iliyokua inaendelea muda sasa kutokana na tabia zake za ajabu anazozionyesha siku za karibuni.

Tuesday, October 2, 2007