Tuesday, February 26, 2008

Ndege wanapovaliwa kama nguo


Mi nilifiki ukiwa na hela nyingi basi hata mavazi yatakuwa mazuri lakini picha hii inaonyesha sivyo hata watu wenye hela hawajui kuchagua mavazi.Mwanadada huyu aliagiza kanga auliwe ili aweze kuvaa ngozi na mayoya yake.

No comments:

Post a Comment

Please visit us oftenly.