Thursday, January 3, 2008

07 hottest phone


Ni kama computer ndogo mkononi ambapo sio tu utasoma email na kuchat kwenye net bali utapiga picha,sikiliza music,angalia picha,angalia ramani nk mimi sina kwa kweli sababu inauzwa $399 bei imeshuka kidogo maana ilikua $ 599 nasubiri iende $200.Watanzania angalieni si mnapenda mawasiliano?Tuwasiliane basi

No comments:

Post a Comment

Please visit us oftenly.