
Ni kama computer ndogo mkononi ambapo sio tu utasoma email na kuchat kwenye net bali utapiga picha,sikiliza music,angalia picha,angalia ramani nk mimi sina kwa kweli sababu inauzwa $399 bei imeshuka kidogo maana ilikua $ 599 nasubiri iende $200.Watanzania angalieni si mnapenda mawasiliano?Tuwasiliane basi
No comments:
Post a Comment
Please visit us oftenly.