
Mahakama nchini marekani imeamua kuwa Britney Spears atakuwa anamlipa aliyekuwa mumewe na baba wa watoto wake wawili Kevin Fedelina dola elfu ishirini kila mwezi kwa maisha yake yote ikiwa ile wamarekani wanaita "Spouse support" .Hayo ni makubaliano yaliyopo ili kumzima moto asiendelee kugombania watoto kutoka kwa Britney.
What a bastard?